Back to home
David Were ataka uchunguzi wa haraka kuhusu mauaji ya mwanawe
video
C
Citizen TV (Youtube)May 26, 2026
1h ago
Aliyekuwa Mbunge wa Matungu Constituency David Were ameitaka asasi za uchunguzi kuchunguza kwa kina na haraka chanzo cha mauaji ya mwanawe aliyekuwa amevamiwa na watu wawili na kuuawa Jumapili asubuhi.
Ripoti ya uchunguzi wa maiti imebaini kuwa Hannington Were alifariki kutokana
Advertisement
Advertisement





