Back to home
Mbunge wa Ndaragwa George Gachagua azitaka shule kukumbatia soma ya teknolojia
video
C
Citizen TV (Youtube)May 27, 2026
2h ago
Mbunge wa Ndaragwa George Gachagua amezitaka shule za umma katika eneo hilo kukumbatia kikamilifu mafunzo ya kidijitali.
Mbunge huyo amesisitiza umuhimu wa kutumia rasilimali za kiteknolojia shuleni, kwa kuwapa wanafunzi ujuzi unaohitajika ili kukabiliana na changamoto za elimu y
Advertisement
Advertisement





