Back to home
Wabunge wa UDA Mlima Kenya wamtaka Hassan Omar ajiuzulu
video
C
Citizen TV (Youtube)May 27, 2026
57m ago
Wabunge wa UDA kutoka Mlima Kenya sasa wanamtaka katibu mkuu wa chama hicho Hassan Omar kujiuzulu la sivyo watamuandikia kinara wa chama hicho Rais William Ruto kumuondoa ofisini. Wabunge hao wanasema kuwa matamshi ya Hassan Omar wiki iliyopita yamekiuka msimamo wa chama hicho wa
Advertisement
Advertisement





