Back to home
Kalonzo azitaka jamii za Wasomali na Wakamba kudumisha umoja
video
N
NTV Kenya (Youtube)May 28, 2026
1h ago
Kalonzo Musyoka amezitaka jamii za Wasomali na Wakamba kudumisha umoja na kujiepusha na vitendo vinavyoweza kuleta mgawanyiko kufuatia visa vya hivi majuzi vya ghasia kati ya wafugaji katika maeneo ya Mwingi, Kaunti ya Kitui.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan
Advertisement
Advertisement





