Back to home

Visa vya watoto kudhulumiwa vyakithiri kaunti ya Nyeri

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 29, 2026
6h ago
Mivutano ya Mashamba, ulipishaji visasi na Kupotoka kwa maadili, ni kati ya sababu kuu zinazochangia ongezeko la dhuluma kwa Watoto katika kaunti ya Nyeri. Haya ni kwa mujibu wa kundi la kutetea haki za Watoto katika kaunti hio linalojitambua kama Gender Champions na linaloongoza
Advertisement