Back to home

Mfanyabiashara wa Mombasa Joginder Singh afikishwa kortini

video
C
Citizen TV (Youtube)
May 29, 2026
3h ago
Mfanyabiashara Joginder singh akamatwa na kufikishwa mahakamani Mombasa kwa kosa la kukosa kufika mahakamani kuhusu kesi inayohusu mzozo wa mali yenye thamani ya shilingi milioni 400.
Advertisement