Back to home

Wabunge wamkashifu gavana Cecily Mbarire kufuatia barua aliyomwandikia Rais mstaafu Uhuru Kenyatta

video
N
NTV Kenya (Youtube)
May 29, 2026
3h ago
Kundi la wabunge wanaomuunga mkono kinara wa DCP Rigathi Gachagua limemkashifu mwenyekiti wa chama cha UDA Cecily Mbarire kufuatia barua aliyomwandikia Rais mstaafu Uhuru Kenyatta, iliyodai kuwa utawala wake kama rais ulichangiwa pakubwa na utendakazi wa serikali ya Kenya Kwanza.
Advertisement