Back to home
Serikali yaonya kuhusu kuongezeka kwa matumizi ya bidhaa za tumbaku miongoni mwa Vijana
video
C
Citizen TV (Youtube)June 1, 2026
2h ago
Serikali yaonyesha wasiwasi mkubwa kuhusu ongezeko la matumizi ya sigara na bidhaa za tumbaku miongoni mwa vijana, ikionya kuwa kampeni za uuzaji wa bidhaa hizo zinaendelea kuwavutia wengi kuingia katika uraibu.
Advertisement
Advertisement





