Back to home
Kocha wa Gor Mahia Charles Akonnor aridhishwa na baada ya Kogalo kubeba ligi
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 1, 2026
2h ago
Kocha wa Gor Mahia Charles Akonnor raia wa Ghana ameridhishwa na wanasoka wake jinsi walipambana msimu wote wa mwaka 2025/26 hadi kulitwaa taji la ligi kuu ya Kenya.
#NTVAdhuhuri @ruga_eval
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told
Advertisement
Advertisement





