Back to home
Wadau wataka mtoto wa kiume apewe kipaumbele katika malezi na uwezeshaji
video
C
Citizen TV (Youtube)June 2, 2026
2h ago
Wadau wa elimu na malezi ya watoto wametoa wito wa kupewa kipaumbele malezi na uwezeshaji wa mtoto wa kiume, wakisema wengi wao wameachwa nyuma huku wakikumbwa na changamoto za matumizi ya dawa za kulevya, uhalifu na ukosefu wa malezi bora.
Advertisement
Advertisement





