Back to home

Timu ya mpira wa kikapu ya Viziwi ya Kenya yaondoka kuelekea Poland kwa mashindano ya dunia

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 3, 2026
1h ago
Timu ya mpira wa kikapu ya viziwi ya Kenya kwa wachezaji walio chini ya umri wa miaka 21 imeondoka nchini kuelekea Poland kwa ajili ya kushiriki Mashindano ya Dunia yatakayofanyika kuanzia tarehe 5 hadi 13 Juni katika mji wa Lublin.
Advertisement