Back to home

Wakazi wa Waa, Ng'ombeni, Tiwi, Kinondo na Diani Kwale wadai hatimiliki

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 4, 2026
1h ago
Wakaazi wa maeneo ya Waa, Ng'ombeni, Tiwi, Kinondo na Diani kaunti ya Kwale waendelea kushinikiza serikali kuu kuwapimia ardhi na kutoa hati miliki kwa wakaazi ambao wamekaa muda mrefu bila hati miliki.
Advertisement