Back to home

Mbunge wa Njoro awashauri wanandoa kuelewana

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 4, 2026
2h ago
Katika kaunti ya Nakuru Mbunge wa eneo Bunge la Njoro Charity Kathambi, awataka wakenya haswa wanandoa kutafuta njia mbaadala za kutatua matatizo Yao ya kifamilia wanapokuwa na tofauti zao badala ya vita ambavyo Kwa mara nyingi huchangia vifo.
Advertisement