Back to home
Familia ya Shakahola yataka majibu kuhusu watoto watano waliopotea
video
C
Citizen TV (Youtube)June 4, 2026
1h ago
Familia ya mshukiwa mmoja wa mauaji ya Shakahola aliyefariki katika Hospitali ya Makadara inadai hawakufahamishwa kuwa jamaa yao alikuwa akiugua ugonjwa wa ini. Kelvin Sudi Asena alifariki akipokea matibabu. Familia yake inasema imeachwa kwenye njia panda baada ya kukabidhiwa mwi
Advertisement
Advertisement




