Back to home
washikadau wa elimu kutoka Makueni waitaka wizara ya elimu kushughulikia suala la moto shuleni
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 5, 2026
2h ago
Huku mjadala kuhusu visa vya wanafunzi kuzua vurugu katika shule za bweni ukiendelea kushika kasi, washikadau wa elimu katika Kaunti ya Makueni wameitaka Wizara ya Elimu kushughulikia suala hilo kikamilifu ili kukabiliana na hali ya taharuki na mvutano unaozidi kushuhudiwa katika
Advertisement
Advertisement





