Back to home

Chris Oguso awaomba Hussein Mohammed na Mcdonald Mariga kutafuta suluhu ya mgogoro uliopo

video
N
NTV Kenya (Youtube)
June 6, 2026
2h ago
Katibu mkuu wa Police FC na mabingwa wa ligi kuu ya wanawake Police Bullets Chris Oguso amewaomba rais wa shirikisho la kandanda la Kenya Hussein Mohammed na naibu wake Mcdonald Mariga kutafuta suluhu ya mgogoro uliopo na kushirikiana kuinua kiwango cha soka nchini. Subscribe an
Advertisement