Back to home
Wakazi Tana River wabadilisha maisha kupitia kilimo cha umwagiliaji
video
C
Citizen TV (Youtube)June 7, 2026
2h ago
Familia nyingi katika Kaunti ya Tana River hulazimika kuhama mara kwa mara mafuriko ya Mto Tana yanapovamia makazi yao.
Hata hivyo, wakazi katika vijiji vya Kelo Kelo na Bondeni wamefanikiwa kubadilisha maisha yao kupitia mradi wa kilimo cha umwagiliaji unaotumia maji kutoka mto
Advertisement
Advertisement



