Back to home

Kipkemboi na Kemuma watawala Nairobi Marathon

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 7, 2026
2h ago
Enock Kipkemboi na Joy Kemuma ndio washindi wa makala ya mwaka huu ya mbio za Nairobi Marathon zilizofanyika jijini Nairobi. Kipkemboi alistahimili baridi kali ya asubuhi na kuibuka mshindi wa mbio hizo, akiwashinda Ronald Kwambai na Shadrack Kenduiywo waliomaliza katika nafasi
Advertisement