Back to home
Lari: Wakazi walalamikia ukosefu wa usalama eneo hilo
video
N
NTV Kenya (Youtube)June 9, 2026
1h ago
Wakazi wa Kamburu katika eneo bunge la Lari, Kaunti ya Kiambu wamefanya maandamano ya kupinga kile wanachokitaja kuwa ongezeko la visa vya ukosefu wa usalama vinavyotikisa eneo hilo kwa miezi kadhaa sasa.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyd
Advertisement
Advertisement





