Back to home
Familia ya Rachel Wandeto yapata afueni baada ya mahakama kuamuru mwili wake uachiliwe
video
C
Citizen TV (Youtube)June 10, 2026
2h ago
Familia ya marehemu Rachel Wandeto, mwanamke aliyeuawa kwa kuchomwa kwa tindikali baada ya kuchora picha ya rais ruto begani, ina sababu ya kutabasamu baada ya mahakama ya Kerugoya kuamuru azikwe.
Advertisement
Advertisement





