Back to home

Refa Omar Artan apokelewa kwa shangwe Somalia baada ya kuzuiwa Marekani

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 10, 2026
2h ago
Refa kutoka Somalia ambaye alizuia kuingia Marekani kushiriki kombe la dunia amerejea nchini kwao ambapo alipokewa kwa shangwe na serikali na wakazi wa Mogadishu. Omar Artan ambaye alitawazwa refa bora barani Afrika mwaka jana amesema uamuzi wa Marekani usiwakoseshe usingizi raia
Advertisement