Back to home
Serikali yaanuia kukusanya zaidi ya ksh3.63t
video
C
Citizen TV (Youtube)June 12, 2026
2h ago
Hazina kuu ya kitaifa yawasilisha bungeni bajeti ya shilingi trilioni 4.8 ya mwaka wa kifedha wa 2026/2027. Kwenye bajeti iliyosomwa bungeni serikali yasema kuwa yanuia kukusanya zaidi ya shilingi trilioni 3.63 kufadhili bajeti yake. Hata hivyo licha ya juhudi hizo za kukusanya f
Advertisement
Advertisement





