Back to home
Kenya Kwanza watetea Ruto, waipongeza bajeti mpya
video
C
Citizen TV (Youtube)June 12, 2026
2h ago
Viongozi wa Kenya Kwanza wamesisitiza kuwa rekodi ya maendeleo ya Rais William Ruto inatosha kumhakikishia muhula wa pili. Wakizungumza katika kaunti za Kakamega na Kericho, viongozi hao wameipigia debe bajeti iliyosomwa Alhamisi wakisema imeweka kipaumbele maendeleo na maslahi y
Advertisement
Advertisement




