Back to home

Viongozi waendelea kumwomboleza Gideon Konchellah

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 13, 2026
2h ago
Mbunge wa zamani wa Kilgoris na Waziri wa zamani wa Uhamiaji Gideon Sitelu Konchellah anaendelea kuombolezwa baada ya kufariki Jumamosi asubuhi. Konchella alifariki baada ya kupata mshtuko wa moyo alipokuwa akipokea matibabu katika hospitali ya Nairobi. Rais William Ruto amemtaj
Advertisement