Back to home
Migori warudisha shukrani kanisani All Saints Cathedral
video
C
Citizen TV (Youtube)June 14, 2026
2h ago
Siku moja tu baada ya kutawazwa mabingwa wa supa ligi timu ya Migori Youth ilijumuika na waumini wa kanisa la All Saint Cathedral hapa Nairobi kwa ibada ya shukrani .
Wakiongozwa na mlezi wao ambaye ni Mbunge Mark Nyamita, walishukuru kwa kutimia kwa malengo ya kupanda ligi kuu n
Advertisement
Advertisement





