Back to home
KTDA yachukua hatua za usalama kuelekea msimu wa El Niño
video
C
Citizen TV (Youtube)June 15, 2026
1h ago
Huku msimu wa mvua iliyotabiriwa kuwa elnino ukikaribia, mamlaka ya ustawishaji chai nchini KTDA inasema imeanzisha hatua za kuhakikisha usalama wa wakazi, walioko karibu na mitaro mikubwa ya kusambaza maji .
Advertisement
Advertisement





