Back to home
Mbunge Barasa apuuzilia mbali ziara ya Gachagua Magharibi mwa nchi
video
C
Citizen TV (Youtube)June 15, 2026
2h ago
Mbunge wa Kimilili, Didmus Barasa, amepuuzilia mbali ziara ya aliyekuwa Naibu Rais Rigathi Gachagua na muungano wa upinzani katika eneo la Magharibi mwa nchi.
Advertisement
Advertisement





