Back to home
Wadau watakiwa kutekeleza sera za watoto wenye ulemavu kuelekea Siku ya Mtoto Mwafrika
video
C
Citizen TV (Youtube)June 15, 2026
2h ago
Huku Siku ya Mtoto Mwafrika ikitarajiwa kuadhimishwa kesho, serikali na wadau mbalimbali wametakiwa kutekeleza kikamilifu sera zinazohusu watoto wenye ulemavu, hasa watoto wa kike, ambao wanapitia changamoto nyingi.
Advertisement
Advertisement





