Back to home
Familia ya Juja yamtafuta jamaa wao aliyetoweka
video
C
Citizen TV (Youtube)June 15, 2026
2h ago
Familia moja katika mtaa wa Juja, jijini Nairobi, inamtafuta jamaa wao kwa jina Esther Wairimu, mwenye umri wa miaka 54, aliyepotea kutoka eneo hilo la Juja tarehe 10 Juni mwaka huu.
Advertisement
Advertisement





