Back to home

NTSA yalaumiwa kwa kudhibiti matumizi ya leseni za KD kwa magari mapya yanayoingia nchini

video
N
NTV Kenya (Youtube)
June 15, 2026
3h ago
Chama cha wafanyibiashara wa kuagiza magari ya kibinafsi kimepinga vikali hatua ya mamlaka ya kitaifa ya uchukuzi na usalama barabarani, NTSA, kudhibiti matumizi ya leseni za kd kwa magari mapya yanayoingia nchini . Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today
Advertisement