Back to home

Wakazi wa Amboseli kaunti ya Kajiado wasema hifadhi za wanyamapori zawafaidi

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 16, 2026
2h ago
Juhudi za kuimarisha uhifadhi wa wanyamapori katika eneo pana la Amboseli, Kaunti ya Kajiado, zaendelea kuzaa matunda. Ripoti mpya ya uhifadhi yaonyesha kuwa idadi ya maeneo ya uhifadhi wa kijamii yaongezeka kutoka 19 miaka mitano iliyopita, hadi 42 sasa.
Advertisement