Back to home
Rais Ruto awasili Ufaransa kuhudhuria mkutano wa G7
video
C
Citizen TV (Youtube)June 16, 2026
1h ago
Rais William Ruto amewasili jijini Evian, Ufaransa, kwa mkutano wa kimataifa wa G7. Rais huyo, ambaye ameungana na viongozi wengine wa dunia, anatarajiwa kushiriki katika mijadala kuhusu changamoto mbalimbali zinazoikumba dunia, ikiwemo migogoro ambayo imeathiri uchumi wa mataifa
Advertisement
Advertisement




