Back to home
Viongozi wa Trans Nzoia wataka hatua dhidi ya wanasiasa wanaoeneza matamshi ya chuki
video
C
Citizen TV (Youtube)June 16, 2026
2h ago
Viongozi kutoka Kaunti ya Trans Nzoia waitaka tume ya NCIC kuwachukulia hatua kali wanasiasa wanaoeneza matamshi ya chuki. Pia waitaka IEBC kuwazuia viongozi wanaopatikana na hatia ya uchochezi kushiriki uchaguzi. Collins Shitiabayi na uketo wa taarifa hiyo.
Advertisement
Advertisement




