Back to home
Viongozi wa kidini na vijana wakemea uhuni Kakamega
video
C
Citizen TV (Youtube)June 17, 2026
1h ago
Viongozi mbalimbali wakiwemo wa kidini katika kaunti ya kakamega wakashifu na kushtumu vikali visa vya vijana kutumika kuzua vurugu katika mikutano ya hadhara huku wanasiasa wakilaumiwa kuchochea vijana hao kwa kuwapa pesa za kuzua rabsha.
Advertisement
Advertisement





