Back to home
Baraza la wazee Taita Taveta launga mkono ujenzi wa uawa umeme katika mbuga ya Tsavo
video
C
Citizen TV (Youtube)June 17, 2026
2h ago
Baraza la wazee kaunti ya Taita Taveta lasema kuwa litashirikiana na shirika la kulinda na kuhifadhi wanyamapori nchini KWS katika kuhakikisha wakazi kaunti hiyo wanufaika na suala la ajira. Baraza hilo pia lasema linaunga mkono mradi kuwekwa kwa ua wa umeme katika hifadhi maalum
Advertisement
Advertisement





