Back to home
Wazazi wahimizwa kuzungumza na watoto wao ili kuwakinga dhidi ya mienendo hatari
video
C
Citizen TV (Youtube)June 17, 2026
1h ago
Wazazi wamehimizwa kuzungumza na watoto wao wanapokuwa nyumbani ili kuwazuia kujiingiza katika mienendo inayoweza kuwaletea matatizo. Wito huo umetolewa na Kamishna Msaidizi wa Kaunti (ACC) wa Nguutani, Alfred Munyiri.
Advertisement
Advertisement





