Back to home
Nairobi kujenga kituo cha mafunzo ya kupambana na ufisadi barani Afrika
video
C
Citizen TV (Youtube)June 17, 2026
1h ago
Katika hatua muhimu ya kuimarisha vita dhidi ya ufisadi barani Afrika, imekubaliwa kuwa kituo cha mafunzo ya kupambana na ufisadi cha bara hilo kitajengwa jijini Nairobi. Haya yamesemwa na Rais wa Muungano wa Mashirika ya Kupambana na Ufisadi barani Afrika kutoka Misri, Khaled Ab
Advertisement
Advertisement





