Back to home
Kennedy Ouma ashinda Sh1.5 milioni kupitia Shabiki.com
video
C
Citizen TV (Youtube)June 17, 2026
1h ago
Kennedy Ouma kutoka Ruiru, kaunti ya Kiambu, amepata ushindi mkubwa wa shilingi milioni 1.516 kupitia mchezo maarufu kwenye Shabiki.com. Kennedy, anayefanya kazi ya kuuza rangi, amesema atatumia fedha hizi kupanua biashara anayoendesha pamoja na mkewe. Huku shamrashamra za Kombe
Advertisement
Advertisement





