Back to home
Aliyekuwa mshauri wa gavana wa Taita Taveta Geoffrey Kimonge ashtakiwa
video
C
Citizen TV (Youtube)June 18, 2026
2d ago
Aliyekuwa mshauri wa masuala ya kisiasa wa gavana wa Taita Taveta, Geoffrey Kimonge, afikishwa mahakamani mjini Voi kwa tuhuma za kupokea shilingi milioni 8.3 kwa njia ya ulaghai mwaka 2015.
Advertisement
Advertisement




