Back to home
Naibu rais profesa Kithure Kindiki asema uharibifu wa mazingira unaathiri uzalishaji chakula
video
C
Citizen TV (Youtube)June 18, 2026
2d ago
Naibu rais profesa Kithure Kindiki ashinikiza juhudi zaidi za kimataifa za kudhibiti mabadiliko ya hali ya hewa, kuongeza utoshelevu wa chakula na utunzaji wa mazingira, ili kulinda mali asili.
Advertisement
Advertisement





