Back to home
Wahudumu wa afya Maasai Mara wapatiwa mafunzo ya matibabu ya dharura kwa waathiriwa wa kung’atwa na
video
C
Citizen TV (Youtube)June 18, 2026
2h ago
Ni afueni kwa madaktari na wahudumu wa afya, hasa katika hospitali za maeneo ya Maasai Mara, eneo bunge la Narok Magharibi, baada ya wataalamu kuwapa mafunzo ya dharura kuhusu jinsi ya kuwahudumia watu walioumwa na nyoka.
Advertisement
Advertisement





