Back to home
Washukiwa watatu wa uwindaji haramu wanaswa Dadaab
video
C
Citizen TV (Youtube)June 18, 2026
2h ago
Maafisa wa Huduma ya Wanyamapori Kenya (KWS) wamewanasa washukiwa watatu wa uwindaji haramu katika eneo la Dagahaley, kaunti ndogo ya Dadaab, wakiwa na nyama ya wanyamapori.
Advertisement
Advertisement









