Back to home
Mtawa Anselmina Karimi azikwa katika makaburi ya Kikatoliki Nkabune, Meru
video
C
Citizen TV (Youtube)June 19, 2026
2h ago
Mtawa Anselmina Karimi aliyeuawa na watu wasiojulikana miezi minane iliyopita azikwa katika makaburi ya Kikatoliki ya Watawa eneo la Nkabune, Kaunti ya Meru.
Advertisement
Advertisement









