Back to home
Gavana wa Machakos Wavinya Ndeti akashifu visa vya mauaji
video
C
Citizen TV (Youtube)June 19, 2026
2h ago
Gavana wa Machakos Wavinya Ndeti akashifu visa vya mauaji ambavyo vyakuwa vikiendelea bila ya wahusika kukamatwa. Wavinya avitaja visa kama vile miili iliyopatikana eneo la Kathiani, mingine Matungulu, na mtu mwingine akiuawa kwenye makutano ya chumvi kaunti ya Machakos
Advertisement
Advertisement





