Back to home

Ruto ataka hatua kali dhidi ya wahuni na wanaowafadhili

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 19, 2026
2h ago
Rais William Ruto ameiagiza Idara ya Polisi kuwakabili wahuni na kudhibiti vitendo vya uhalifu. Akizungumzia suala hilo kwa mara ya kwanza tangu uvamizi uliozua taharuki katika All Saints Cathedral Ijumaa iliyopita, Rais pia ametaka wanasiasa wanaodaiwa kufadhili magenge hayo kuc
Advertisement