Back to home
Viongozi wa Kenya Kwanza watetea serikali, watoa wito wa muhula wa pili
video
C
Citizen TV (Youtube)June 19, 2026
2h ago
Baadhi ya Viongozi wa Kenya Kwanza wamewasuta viongozi wa upinzani wakidai wanaeneza siasa za kuwagawanya wakenya kimaeneo na kikabila.
Wakizungumza huko Shinyalu kaunti ya Kakamega, Cherangany katika Kaunti ya Trans Nzoia, na Funyula kaunti ya Busia, kibwagizo chao kilikuwa ku
Advertisement
Advertisement



