Back to home

Walimu wakimbizi Kakuma wakabili changamoto za kutotambuliwa rasmi

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 20, 2026
2h ago
Walimu wakimbizi katika kambi ya Kakuma, kaunti ya Turkana, wamekuwa wakifundisha kwa miaka mingi bila kutambuliwa na mfumo rasmi wa Serikali ya Kenya. Baadhi yao wamezaliwa na kusomea nchini Kenya lakini wanakabiliwa na changamoto ya kukosa vitambulisho, hali inayowazuia kuingi
Advertisement