Back to home

Watu wawili waliaga kwenye mkasa wa moto wa jana usiku sokoni Gikomba

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 21, 2026
3h ago
Watu wawili wamefariki na wengine kadhaa kujeruhiwa kufuatia moto mkubwa ulioteketeza soko la gikomba hapa nairobi. Aidha mali ya mamilioni iliteketea kwenye mkasa huo wa usiku wa kuamkia Jumapili. Baadhi ya wafanyabiashara sasa wanadai kuwa huenda moto huo ulisababishwa kimakusu
Advertisement