Back to home

Viongozi wa upinzani wataka usalama wa Juni 25

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 21, 2026
3h ago
Viongozi wa upinzani sasa wanataka waandamanaji kupewa uhuru na usalama wa kutosha wakati wa maadhimisho ya juni 25 ya kuwakumbuka vijana waliouawa wakati wa maandamano ya kupinga mswada wa fedha miaka miwili iliyopita. Wakizungumza katika hafla tofauti, viongozi hao wanashikilia
Advertisement