Back to home
Wakulima wa Igembe Kaskazini walalamikia uvamizi wa mifugo mashambani
video
C
Citizen TV (Youtube)June 22, 2026
1h ago
Wakulima katika eneo la Igembe North wamelalamikia uvamizi wa mifugo katika mashamba yao, wakisema hali hiyo imesababisha uharibifu mkubwa wa mazao ya chakula. Wakulima hao wameitaka serikali na viongozi wa eneo hilo kuingilia kati na kutafuta suluhu ya kudumu ili kulinda uzalish
Advertisement
Advertisement




